Hesabu 26:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Nchi itagawanywa kwa kura+ tu. Kulingana na majina ya makabila ya baba zao watapata urithi. Zaburi 78:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Naye akayafukuza mataifa kwa sababu yao,+Na kuwagawia urithi kwa kamba ya kupimia,+Hivi kwamba akayafanya makabila ya Israeli yakae nyumbani kwao wenyewe.+
55 Naye akayafukuza mataifa kwa sababu yao,+Na kuwagawia urithi kwa kamba ya kupimia,+Hivi kwamba akayafanya makabila ya Israeli yakae nyumbani kwao wenyewe.+