Zaburi 47:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Atatuchagulia urithi wetu,+Fahari ya Yakobo, ambaye amempenda.+ Sela. Amosi 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Yehova ameapa kwa Ukuu wa Yakobo,+ ‘Kamwe sitazisahau kazi zao zote.+