8 Utashindana naye kwa mlio wa kushtua utakapokuwa ukimfukuza. Lazima yeye atamfukuza huyo kwa mlipuko wake, ulio mkali katika siku ya upepo wa mashariki.+
10 Na, tazama! ijapokuwa ulipandikizwa, je, utakuwa na mafanikio? Je, hautakauka kabisa, kama wakati ambapo upepo wa mashariki huugusa?+ Utakauka katika eneo dogo la bustani la chipukizi lake.” ’ ”+