2 Wafalme 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+ Isaya 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na itatukia katika siku hiyo kwamba Yehova ataelekeza fikira zake juu ya jeshi lililo juu mahali pa juu, na juu ya wafalme wa nchi juu ya nchi.+ Yeremia 39:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+
7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+
21 Na itatukia katika siku hiyo kwamba Yehova ataelekeza fikira zake juu ya jeshi lililo juu mahali pa juu, na juu ya wafalme wa nchi juu ya nchi.+
6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+