Kutoka 29:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 “Nami nitajitokeza hapo kwa wana wa Israeli, napo hakika patatakaswa kwa utukufu wangu.+ Zaburi 29:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Sauti ya Yehova huwafanya paa watetemeke kwa maumivu ya kuzaa+Na kuivua kabisa misitu.+Na katika hekalu lake kila mmoja anasema: “Utukufu!”+ Isaya 60:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako wewe, mberoshi, mtidhari na mvinje wakati uleule,+ ili kuparembesha patakatifu pangu;+ nami nitapatukuza mahali pangu pa miguu.+
9 Sauti ya Yehova huwafanya paa watetemeke kwa maumivu ya kuzaa+Na kuivua kabisa misitu.+Na katika hekalu lake kila mmoja anasema: “Utukufu!”+
13 “Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako wewe, mberoshi, mtidhari na mvinje wakati uleule,+ ili kuparembesha patakatifu pangu;+ nami nitapatukuza mahali pangu pa miguu.+