Isaya 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakati wa mchana unaweza kulijengea ua shamba lako kwa uangalifu, nawe unaweza kuichipusha mbegu yako wakati wa asubuhi, lakini hakika mavuno yatakimbia katika siku ya ugonjwa na maumivu yasiyoweza kuponywa.+ Hosea 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Kwa maana wao huendelea kupanda upepo, nao watavuna+ upepo wa dhoruba. Hakuna chochote chenye nafaka inayosimama.+ Hakuna chipukizi lolote linalotoa unga.+ Chipukizi lolote likiutokeza, wageni wataumeza.+
11 Wakati wa mchana unaweza kulijengea ua shamba lako kwa uangalifu, nawe unaweza kuichipusha mbegu yako wakati wa asubuhi, lakini hakika mavuno yatakimbia katika siku ya ugonjwa na maumivu yasiyoweza kuponywa.+
7 “Kwa maana wao huendelea kupanda upepo, nao watavuna+ upepo wa dhoruba. Hakuna chochote chenye nafaka inayosimama.+ Hakuna chipukizi lolote linalotoa unga.+ Chipukizi lolote likiutokeza, wageni wataumeza.+