Methali 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dhabihu ya waovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini sala ya wanyoofu ni furaha kwake.+ Methali 28:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayegeuzia mbali sikio lake asiisikie sheria+—hata sala yake ni chukizo.+