7 Ndipo Yehova akamwambia Shetani: “Wewe unatoka wapi?” Naye Shetani akamjibu Yehova, akasema: “Ninatoka kuzurura huku na huku duniani+ na kutembea huku na huku ndani yake.”+
2 Ndipo Yehova akamwambia Shetani: “Wewe unatoka wapi hasa?” Naye Shetani akamjibu Yehova, akasema: “Ninatoka kuzurura huku na huku duniani na kutembea huku na huku ndani yake.”+