Waamuzi 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu aliwatia hao wakuu wa Midiani, Orebu na Zeebu+ katika mkono wenu, nami nimeweza kufanya nini kwa kulinganishwa nanyi?” Ndipo roho yao ikatulia kumwelekea aliposema neno hilo.+ Mhubiri 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+
3 Mungu aliwatia hao wakuu wa Midiani, Orebu na Zeebu+ katika mkono wenu, nami nimeweza kufanya nini kwa kulinganishwa nanyi?” Ndipo roho yao ikatulia kumwelekea aliposema neno hilo.+
4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+