11 Vyombo vyote vya dhahabu na vya fedha vilikuwa 5,400. Sheshbazari+ alileta kila kitu pamoja na wale waliohamishwa+ ambao walitoka Babiloni kwenda Yerusalemu.
16 na fedha na dhahabu yote ambayo utapata katika wilaya yote ya utawala ya Babiloni pamoja na zawadi ya watu+ na makuhani ambao wanatoa kwa hiari kwa nyumba ya Mungu wao,+ iliyoko Yerusalemu;