11 “‘Kwa maana mimi najua vema mawazo ninayofikiria kuwaelekea ninyi,’+ asema Yehova, ‘mawazo ya amani, wala si ya msiba,+ ili kuwapa ninyi wakati ujao na tumaini.+
42 “Kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Kama nilivyoleta huu msiba wote mkubwa juu ya watu hawa, ndivyo nitakavyoleta juu yao wema wote ambao ninasema kuwahusu.+
10 Ee binti Sayuni, uwe na maumivu makali na utaabike, kama mwanamke anayezaa,+ maana sasa utaenda kutoka katika mji, nawe utakaa katika shamba.+ Nawe utaenda mpaka Babiloni.+ Huko utakombolewa.+ Huko Yehova atakununua kutoka mkononi mwa adui zako.+