Mambo ya Walawi 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Msiibe,+ wala msidanganye,+ wala msitendeane kwa uwongo mtu yeyote na mwenzake.+ Methali 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mdomo wa ukweli+ ndio utakaofanywa imara milele,+ lakini ulimi wa uwongo ni wa muda mfupi tu.+ Yeremia 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 nao wanaendelea kumchezea kila mmoja rafiki yake;+ nao hawasemi ukweli hata kidogo. Wameufundisha ulimi wao kusema uwongo.+ Wamejichosha tu katika kufanya kosa.+ Waefeso 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini tukisema kweli,+ na tukue kwa upendo+ katika mambo yote ndani yake yeye aliye kichwa,+ Kristo. Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+
5 nao wanaendelea kumchezea kila mmoja rafiki yake;+ nao hawasemi ukweli hata kidogo. Wameufundisha ulimi wao kusema uwongo.+ Wamejichosha tu katika kufanya kosa.+
15 Lakini tukisema kweli,+ na tukue kwa upendo+ katika mambo yote ndani yake yeye aliye kichwa,+ Kristo.
25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+