Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi mfalme na watu wake wakaenda Yerusalemu kupigana na Wayebusi+ wanaokaa katika nchi, nao wakaanza kumwambia Daudi: “Wewe hutaingia humu, lakini bila shaka vipofu na vilema watakufukuza,”+ wao walikuwa wakifikiri: “Daudi hataingia humu.”

  • 1 Wafalme 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na watu wote waliobaki kutoka kwa Waamori,+ Wahiti,+ Waperizi,+ Wahivi+ na Wayebusi,+ ambao hawakuwa sehemu ya wana wa Israeli,+

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Baadaye Daudi na Israeli wote wakaenda Yerusalemu,+ yaani, Yebusi,+ ambapo Wayebusi+ ndio waliokuwa wakaaji wa nchi hiyo.

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wakati huo, Daudi alipoona kwamba Yehova amemjibu kwenye uwanja wa kupuria wa Ornani Myebusi, yeye akaendelea kutoa dhabihu hapo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki