2 Samweli 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi mfalme na watu wake wakaenda Yerusalemu kupigana na Wayebusi+ wanaokaa katika nchi, nao wakaanza kumwambia Daudi: “Wewe hutaingia humu, lakini bila shaka vipofu na vilema watakufukuza,”+ wao walikuwa wakifikiri: “Daudi hataingia humu.” 1 Wafalme 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na watu wote waliobaki kutoka kwa Waamori,+ Wahiti,+ Waperizi,+ Wahivi+ na Wayebusi,+ ambao hawakuwa sehemu ya wana wa Israeli,+ 1 Mambo ya Nyakati 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baadaye Daudi na Israeli wote wakaenda Yerusalemu,+ yaani, Yebusi,+ ambapo Wayebusi+ ndio waliokuwa wakaaji wa nchi hiyo. 1 Mambo ya Nyakati 21:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wakati huo, Daudi alipoona kwamba Yehova amemjibu kwenye uwanja wa kupuria wa Ornani Myebusi, yeye akaendelea kutoa dhabihu hapo.+
6 Basi mfalme na watu wake wakaenda Yerusalemu kupigana na Wayebusi+ wanaokaa katika nchi, nao wakaanza kumwambia Daudi: “Wewe hutaingia humu, lakini bila shaka vipofu na vilema watakufukuza,”+ wao walikuwa wakifikiri: “Daudi hataingia humu.”
20 Na watu wote waliobaki kutoka kwa Waamori,+ Wahiti,+ Waperizi,+ Wahivi+ na Wayebusi,+ ambao hawakuwa sehemu ya wana wa Israeli,+
4 Baadaye Daudi na Israeli wote wakaenda Yerusalemu,+ yaani, Yebusi,+ ambapo Wayebusi+ ndio waliokuwa wakaaji wa nchi hiyo.
28 Wakati huo, Daudi alipoona kwamba Yehova amemjibu kwenye uwanja wa kupuria wa Ornani Myebusi, yeye akaendelea kutoa dhabihu hapo.+