Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana malaika wangu ataenda mbele yako naye kwa kweli atakuongoza kwa Waamori na Wahiti na Waperizi na Wakanaani, na Wahivi na Wayebusi, nami hakika nitawafutilia hao mbali.+

  • Yoshua 15:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Lakini wale Wayebusi+ waliokuwa wakikaa katika Yerusalemu,+ wana wa Yuda hawakuweza kuwafukuza;+ basi hao Wayebusi wanaendelea kukaa pamoja na wana wa Yuda katika Yerusalemu mpaka leo hii.

  • Waamuzi 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Zaidi ya hayo, wana wa Yuda wakaendelea kupigana vita na jiji la Yerusalemu+ nao wakaliteka, wakalipiga kwa makali ya upanga, kisha wakateketeza jiji hilo kwa moto.

  • Waamuzi 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na wana wa Benyamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu;+ bali Wayebusi wanaendelea kukaa pamoja na wana wa Benyamini katika Yerusalemu mpaka leo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki