Yeremia 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Usitutendee bila heshima kwa ajili ya jina lako;+ usikidharau kiti chako cha ufalme chenye utukufu.+ Ukumbuke; usivunje agano lako pamoja nasi.+ Ezekieli 16:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 “Kwa maana hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Mimi pia lazima nikutendee wewe kama vile ulivyotenda,+ kwa sababu ulikidharau kiapo kwa kuvunja agano langu.+
21 Usitutendee bila heshima kwa ajili ya jina lako;+ usikidharau kiti chako cha ufalme chenye utukufu.+ Ukumbuke; usivunje agano lako pamoja nasi.+
59 “Kwa maana hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Mimi pia lazima nikutendee wewe kama vile ulivyotenda,+ kwa sababu ulikidharau kiapo kwa kuvunja agano langu.+