Isaya 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wivu wa Efraimu utaondoka,+ na hata wale wanaomwonyesha Yuda uadui watakatiliwa mbali. Efraimu hatamwonea Yuda wivu, wala Yuda hatamwonyesha Efraimu uadui.+ Ezekieli 37:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, jichukulie kijiti+ na uandike juu yake, ‘Kwa Yuda na kwa wenzake, wana wa Israeli.’+ Na uchukue kijiti kingine na kuandika juu yake, ‘Kwa Yosefu, kijiti cha Efraimu,+ na wenzake, nyumba yote ya Israeli.’+
13 Na wivu wa Efraimu utaondoka,+ na hata wale wanaomwonyesha Yuda uadui watakatiliwa mbali. Efraimu hatamwonea Yuda wivu, wala Yuda hatamwonyesha Efraimu uadui.+
16 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, jichukulie kijiti+ na uandike juu yake, ‘Kwa Yuda na kwa wenzake, wana wa Israeli.’+ Na uchukue kijiti kingine na kuandika juu yake, ‘Kwa Yosefu, kijiti cha Efraimu,+ na wenzake, nyumba yote ya Israeli.’+