19 waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninakichukua kijiti cha Yosefu, kilicho mkononi mwa Efraimu, na wenzake, makabila ya Israeli, nami nitawaweka juu yake, yaani, kijiti cha Yuda, nami kwa kweli nitavifanya kuwa kijiti kimoja,+ navyo vitakuwa kimoja mkononi mwangu.” ’