Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Katika siku hizo watatembea, nyumba ya Yuda ikiwa kando ya nyumba ya Israeli,+ nao pamoja+ watatoka katika nchi ya kaskazini na kuingia katika nchi ambayo niliwapa mababu zenu kuwa fungu la urithi.+

  • Ezekieli 37:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, jichukulie kijiti+ na uandike juu yake, ‘Kwa Yuda na kwa wenzake, wana wa Israeli.’+ Na uchukue kijiti kingine na kuandika juu yake, ‘Kwa Yosefu, kijiti cha Efraimu,+ na wenzake, nyumba yote ya Israeli.’+

  • Ezekieli 37:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninakichukua kijiti cha Yosefu, kilicho mkononi mwa Efraimu, na wenzake, makabila ya Israeli, nami nitawaweka juu yake, yaani, kijiti cha Yuda, nami kwa kweli nitavifanya kuwa kijiti kimoja,+ navyo vitakuwa kimoja mkononi mwangu.” ’

  • Hosea 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na wana wa Yuda na wana wa Israeli hakika watakusanywa pamoja katika umoja+ nao kwa kweli watajiwekea kichwa kimoja nao watatoka katika ile nchi,+ kwa maana siku ya Yezreeli+ itakuwa kuu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki