20 Na ikawa kwamba mara tu Israeli wote waliposikia kwamba Yeroboamu amerudi, mara moja wakatuma watu kumwita kwenye kusanyiko na kumfanya kuwa mfalme juu ya Israeli yote.+ Hakuna yeyote aliyekuwa mfuasi wa nyumba ya Daudi isipokuwa kabila la Yuda peke yake.+
21 Manase atamla Efraimu, na Efraimu atamla Manase. Wote pamoja watapigana na Yuda.+ Kwa sababu ya hayo yote hasira yake haijarudi nyuma, bali mkono wake bado umenyooshwa.+