Zekaria 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami nitaviondoa vitu vyake vyenye madoa ya damu kinywani mwake na kuyaondoa machukizo yake kutoka katikati ya meno+ yake, naye mwenyewe atabaki kwa ajili ya Mungu wetu; naye atakuwa kama shehe+ katika Yuda,+ na Ekroni kama Myebusi.+
7 Nami nitaviondoa vitu vyake vyenye madoa ya damu kinywani mwake na kuyaondoa machukizo yake kutoka katikati ya meno+ yake, naye mwenyewe atabaki kwa ajili ya Mungu wetu; naye atakuwa kama shehe+ katika Yuda,+ na Ekroni kama Myebusi.+