12 “Yehova amesema hivi, ‘Kama vile mchungaji anavyonyakua miguu miwili au kipande cha sikio kutoka katika kinywa cha simba,+ ndivyo wana wa Israeli watakavyonyakuliwa, wale wanaokaa katika Samaria kwenye kitanda cha utukufu+ na kwenye kitanda cha Damasko.’+