Yeremia 31:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Na bado kamba ya kupimia+ itaenda mbele moja kwa moja kwenye kilima cha Garebu, nayo hakika itazunguka mpaka Goa. Ezekieli 45:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “ ‘Na miliki ya jiji, mtatoa upana wa 5,000 na urefu wa 25,000, sawasawa na mchango mtakatifu.+ Itakuwa ya nyumba yote ya Israeli. Ufunuo 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi yeye aliyekuwa akisema nami alikuwa ameshika utete wa dhahabu kuwa kipimio,+ ili alipime jiji lile na malango yake na ukuta wake.+
39 Na bado kamba ya kupimia+ itaenda mbele moja kwa moja kwenye kilima cha Garebu, nayo hakika itazunguka mpaka Goa.
6 “ ‘Na miliki ya jiji, mtatoa upana wa 5,000 na urefu wa 25,000, sawasawa na mchango mtakatifu.+ Itakuwa ya nyumba yote ya Israeli.
15 Basi yeye aliyekuwa akisema nami alikuwa ameshika utete wa dhahabu kuwa kipimio,+ ili alipime jiji lile na malango yake na ukuta wake.+