Ezekieli 40:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akanileta huko, na, tazama! alikuwapo mtu fulani. Sura yake ilikuwa kama shaba,+ naye alikuwa na kamba ya kitani mkononi mwake, na utete wa kupimia,+ naye alikuwa amesimama langoni. Ufunuo 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikapewa utete unaofanana na fimbo+ aliposema: “Simama upime patakatifu pa hekalu+ la Mungu na madhabahu na wale wanaoabudu ndani yake.
3 Naye akanileta huko, na, tazama! alikuwapo mtu fulani. Sura yake ilikuwa kama shaba,+ naye alikuwa na kamba ya kitani mkononi mwake, na utete wa kupimia,+ naye alikuwa amesimama langoni.
11 Nami nikapewa utete unaofanana na fimbo+ aliposema: “Simama upime patakatifu pa hekalu+ la Mungu na madhabahu na wale wanaoabudu ndani yake.