Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Naye akayafukuza mataifa kwa sababu yao,+

      Na kuwagawia urithi kwa kamba ya kupimia,+

      Hivi kwamba akayafanya makabila ya Israeli yakae nyumbani kwao wenyewe.+

  • Ezekieli 47:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mtu huyo alipotoka kwenda mashariki akiwa na kamba ya kupimia mkononi mwake,+ alipima pia mikono elfu moja na kunipitisha katikati ya maji yale, maji yanayofika kwenye vifundo vya miguu.

  • Zekaria 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nikainua macho yangu nikaona; na tazama! kulikuwa na mtu, naye alikuwa na kamba ya kupimia+ mkononi mwake.

  • Ufunuo 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nikapewa utete unaofanana na fimbo+ aliposema: “Simama upime patakatifu pa hekalu+ la Mungu na madhabahu na wale wanaoabudu ndani yake.

  • Ufunuo 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi yeye aliyekuwa akisema nami alikuwa ameshika utete wa dhahabu kuwa kipimio,+ ili alipime jiji lile na malango yake na ukuta wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki