Zaburi 78:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Naye akayafukuza mataifa kwa sababu yao,+Na kuwagawia urithi kwa kamba ya kupimia,+Hivi kwamba akayafanya makabila ya Israeli yakae nyumbani kwao wenyewe.+ Ezekieli 47:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtu huyo alipotoka kwenda mashariki akiwa na kamba ya kupimia mkononi mwake,+ alipima pia mikono elfu moja na kunipitisha katikati ya maji yale, maji yanayofika kwenye vifundo vya miguu. Zekaria 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nami nikainua macho yangu nikaona; na tazama! kulikuwa na mtu, naye alikuwa na kamba ya kupimia+ mkononi mwake. Ufunuo 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikapewa utete unaofanana na fimbo+ aliposema: “Simama upime patakatifu pa hekalu+ la Mungu na madhabahu na wale wanaoabudu ndani yake. Ufunuo 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi yeye aliyekuwa akisema nami alikuwa ameshika utete wa dhahabu kuwa kipimio,+ ili alipime jiji lile na malango yake na ukuta wake.+
55 Naye akayafukuza mataifa kwa sababu yao,+Na kuwagawia urithi kwa kamba ya kupimia,+Hivi kwamba akayafanya makabila ya Israeli yakae nyumbani kwao wenyewe.+
3 Mtu huyo alipotoka kwenda mashariki akiwa na kamba ya kupimia mkononi mwake,+ alipima pia mikono elfu moja na kunipitisha katikati ya maji yale, maji yanayofika kwenye vifundo vya miguu.
2 Nami nikainua macho yangu nikaona; na tazama! kulikuwa na mtu, naye alikuwa na kamba ya kupimia+ mkononi mwake.
11 Nami nikapewa utete unaofanana na fimbo+ aliposema: “Simama upime patakatifu pa hekalu+ la Mungu na madhabahu na wale wanaoabudu ndani yake.
15 Basi yeye aliyekuwa akisema nami alikuwa ameshika utete wa dhahabu kuwa kipimio,+ ili alipime jiji lile na malango yake na ukuta wake.+