Ezekieli 40:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akanileta huko, na, tazama! alikuwapo mtu fulani. Sura yake ilikuwa kama shaba,+ naye alikuwa na kamba ya kitani mkononi mwake, na utete wa kupimia,+ naye alikuwa amesimama langoni. Ufunuo 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi yeye aliyekuwa akisema nami alikuwa ameshika utete wa dhahabu kuwa kipimio,+ ili alipime jiji lile na malango yake na ukuta wake.+
3 Naye akanileta huko, na, tazama! alikuwapo mtu fulani. Sura yake ilikuwa kama shaba,+ naye alikuwa na kamba ya kitani mkononi mwake, na utete wa kupimia,+ naye alikuwa amesimama langoni.
15 Basi yeye aliyekuwa akisema nami alikuwa ameshika utete wa dhahabu kuwa kipimio,+ ili alipime jiji lile na malango yake na ukuta wake.+