Zaburi 97:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nuru imemwangazia mwadilifu,+Na shangwe kwa ajili ya walio wanyoofu moyoni.+ Methali 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini njia ya waadilifu ni kama nuru inayong’aa, inayozidi kuongezeka mpaka mchana mkamilifu.+ Ufunuo 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na malango yake hayatafungwa hata kidogo wakati wa mchana,+ kwa maana usiku hautakuwa humo.+