29 “Nawe utafanya sahani zake na vikombe vyake na mitungi yake na mabakuli yake watakayotumia katika kumimina matoleo ya kinywaji. Utavifanya kutokana na dhahabu safi.+
16 Baada ya hilo akafanya kutokana na dhahabu safi vile vyombo vilivyo juu ya meza, sahani zake na vikombe vyake na mabakuli yake na mitungi yake iliyotumiwa kumimina matoleo ya kinywaji.+
7 “Nao watatandika kitambaa cha bluu juu ya meza+ ya mkate wa wonyesho, nao wataweka juu yake sahani+ na vikombe na mabakuli+ na mitungi ya toleo la kinywaji; na ule mkate+ wa daima utakaa juu yake.