21 Nao wakamuuliza, wakisema: “Mwalimu, tunajua wewe husema na kufundisha kwa usahihi na huonyeshi ubaguzi wowote, bali wewe hufundisha njia ya Mungu kupatana na ile kweli:+
2 Huyo alimjia wakati wa usiku+ na kumwambia: “Rabi,+ tunajua kwamba wewe ukiwa mwalimu+ umekuja kutoka kwa Mungu;+ kwa maana hakuna anayeweza kufanya ishara+ hizi ambazo unafanya isipokuwa Mungu awe pamoja naye.”+