15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki.
16 Basi wakawatuma wanafunzi wao kwake, pamoja na wafuasi wa chama cha Herode,+ wakisema: “Mwalimu, tunajua wewe una ukweli nawe hufundisha njia ya Mungu katika kweli, na hujali mtu yeyote, kwa maana wewe hutazami sura ya mtu.+
14 Walipofika wakamwambia: “Mwalimu, tunajua wewe una ukweli nawe hujali mtu yeyote, kwa maana hutazami sura za watu, bali unafundisha njia ya Mungu kupatana na ile kweli:+ Je, ni halali kumlipa Kaisari kodi ya kichwa au hapana?