Waroma 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Upendo+ haumfanyii uovu jirani ya mtu;+ kwa hiyo upendo ndio utimizo wa sheria.+ Wagalatia 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Sheria nzima hupata utimizo+ katika neno moja, yaani: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+
14 Kwa maana Sheria nzima hupata utimizo+ katika neno moja, yaani: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+