Marko 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Alipokuwa akitoka hekaluni mmoja wa wanafunzi wake akamwambia: “Mwalimu, ona! jinsi yalivyo mawe haya na majengo haya!”+ Luka 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baadaye, watu fulani walipokuwa wakisema kuhusu hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe mazuri na vitu vilivyowekwa wakfu,+
13 Alipokuwa akitoka hekaluni mmoja wa wanafunzi wake akamwambia: “Mwalimu, ona! jinsi yalivyo mawe haya na majengo haya!”+
5 Baadaye, watu fulani walipokuwa wakisema kuhusu hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe mazuri na vitu vilivyowekwa wakfu,+