Mathayo 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Sasa Yesu akaondoka, akashika njia kutoka hekaluni, lakini wanafunzi wake wakamkaribia na kumwonyesha majengo ya hekalu.+ Marko 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Alipokuwa akitoka hekaluni mmoja wa wanafunzi wake akamwambia: “Mwalimu, ona! jinsi yalivyo mawe haya na majengo haya!”+
24 Sasa Yesu akaondoka, akashika njia kutoka hekaluni, lakini wanafunzi wake wakamkaribia na kumwonyesha majengo ya hekalu.+
13 Alipokuwa akitoka hekaluni mmoja wa wanafunzi wake akamwambia: “Mwalimu, ona! jinsi yalivyo mawe haya na majengo haya!”+