Mathayo 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Sasa Yesu akaondoka, akashika njia kutoka hekaluni, lakini wanafunzi wake wakamkaribia na kumwonyesha majengo ya hekalu.+ Luka 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baadaye, watu fulani walipokuwa wakisema kuhusu hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe mazuri na vitu vilivyowekwa wakfu,+
24 Sasa Yesu akaondoka, akashika njia kutoka hekaluni, lakini wanafunzi wake wakamkaribia na kumwonyesha majengo ya hekalu.+
5 Baadaye, watu fulani walipokuwa wakisema kuhusu hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe mazuri na vitu vilivyowekwa wakfu,+