17 Ikawa kwamba, mara tu walipokuwa wamewatoa nje ya jiji, akaanza kusema: “Kimbia kwa ajili ya nafsi yako!+ Usitazame nyuma+ wala usisimame katika Wilaya yote!+ Kimbilia eneo lenye milima usije ukafagiliwa mbali!”+
21 Ndipo wale walio katika Yudea waanze kukimbilia milimani, na wale walio katikati yake na waondoke, nao wale walio katika sehemu za mashambani wasiingie ndani;+