Mathayo 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ndipo wale walio katika Yudea waanze kukimbilia+ milimani. Marko 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Hata hivyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa likiwa+ limesimama mahali ambapo halipaswi (msomaji na atumie utambuzi),+ ndipo wale walio katika Yudea waanze kukimbilia milimani.+
14 “Hata hivyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa likiwa+ limesimama mahali ambapo halipaswi (msomaji na atumie utambuzi),+ ndipo wale walio katika Yudea waanze kukimbilia milimani.+