Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu katikati ya wengi,+ naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,+ kwa sababu aliimwaga nafsi yake mpaka kufa,+ naye alihesabiwa pamoja na wakosaji;+ naye mwenyewe aliichukua dhambi ya watu wengi,+ aliingilia kati kwa ajili ya wakosaji.+

  • Marko 15:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Zaidi ya hayo, wakawatundika mtini wanyang’anyi wawili pamoja naye, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+

  • Luka 23:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nao walipofika mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ huko wakamtundika mtini yeye na wale watenda-maovu, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+

  • Yohana 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 na huko wakamtundika mtini,+ na watu wengine wawili pamoja naye, mmoja upande huu na mmoja upande huu, lakini Yesu katikati.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki