Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo siku ya sabato+ ilipokuwa imepita, Maria Magdalene,+ na Maria mama ya Yakobo, na Salome wakanunua manukato kusudi waje kumpaka.+

  • Luka 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata hivyo, siku ya kwanza ya juma walienda mapema sana kwenye kaburi, wakichukua yale manukato waliyokuwa wametayarisha.+

  • Luka 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Walikuwa Magdalene Maria, na Yoana,+ na Maria mama ya Yakobo. Pia, wengine kati ya wanawake+ waliokuwa pamoja nao walikuwa wakiwaeleza mitume mambo hayo.

  • Yohana 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Siku ya kwanza+ ya juma Maria Magdalene akaja mapema kwenye kaburi, kulipokuwa na giza bado, naye akaona jiwe likiwa tayari limeondolewa kutoka kwenye kaburi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki