10 Walikuwa Magdalene Maria, na Yoana,+ na Maria mama ya Yakobo. Pia, wengine kati ya wanawake+ waliokuwa pamoja nao walikuwa wakiwaeleza mitume mambo hayo.
20Siku ya kwanza+ ya juma Maria Magdalene akaja mapema kwenye kaburi, kulipokuwa na giza bado, naye akaona jiwe likiwa tayari limeondolewa kutoka kwenye kaburi.+