Mathayo 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Baada ya siku ya sabato, kulipokuwa kukipambazuka katika siku ya kwanza ya juma, Maria Magdalene na yule Maria mwingine wakaja kulitazama kaburi.+ Marko 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo siku ya sabato+ ilipokuwa imepita, Maria Magdalene,+ na Maria mama ya Yakobo, na Salome wakanunua manukato kusudi waje kumpaka.+ Yohana 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Siku ya kwanza+ ya juma Maria Magdalene akaja mapema kwenye kaburi, kulipokuwa na giza bado, naye akaona jiwe likiwa tayari limeondolewa kutoka kwenye kaburi.+
28 Baada ya siku ya sabato, kulipokuwa kukipambazuka katika siku ya kwanza ya juma, Maria Magdalene na yule Maria mwingine wakaja kulitazama kaburi.+
16 Kwa hiyo siku ya sabato+ ilipokuwa imepita, Maria Magdalene,+ na Maria mama ya Yakobo, na Salome wakanunua manukato kusudi waje kumpaka.+
20 Siku ya kwanza+ ya juma Maria Magdalene akaja mapema kwenye kaburi, kulipokuwa na giza bado, naye akaona jiwe likiwa tayari limeondolewa kutoka kwenye kaburi.+