Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wakati mnapofunga,+ msiwe na nyuso zenye huzuni kama wanafiki, kwa maana wao hukunja nyuso zao ili waonekane na watu kuwa wanafunga.+ Kwa kweli ninawaambia ninyi, Wanapata thawabu yao kwa ukamili.

  • Mathayo 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kazi zote wanazozifanya wao huzifanya ili watazamwe na watu;+ kwa maana wanapanua vibweta+ vyenye maandiko ambavyo wao huvaa kama ulinzi, na kuongeza ukubwa wa pindo zenye nyuzinyuzi+ za mavazi yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki