22 Na yule aliyepandwa katikati ya miiba, huyo ndiye anayelisikia neno, lakini mahangaiko ya mfumo huu wa mambo+ na nguvu za udanganyifu wa utajiri hulisonga neno, naye huwa asiyezaa matunda.+
3 Dhahabu na fedha zenu zimeliwa na kutu, na kutu yake itakuwa kama ushahidi juu yenu nayo itakula sehemu zenu zenye nyama. Kitu kama moto+ ndicho mmeweka akiba+ katika siku za mwisho.+