Zaburi 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika amani nitajilaza na kulala usingizi,+Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya nikae kwa usalama.+ Luka 8:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini walipokuwa wakisafiri akalala usingizi. Sasa dhoruba ya upepo wenye nguvu nyingi ikashuka juu ya ziwa, nao wakaanza kujawa na maji na kuwa hatarini.+
8 Katika amani nitajilaza na kulala usingizi,+Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya nikae kwa usalama.+
23 Lakini walipokuwa wakisafiri akalala usingizi. Sasa dhoruba ya upepo wenye nguvu nyingi ikashuka juu ya ziwa, nao wakaanza kujawa na maji na kuwa hatarini.+