Mwanzo 25:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na baadaye ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa unashikilia kisigino cha Esau;+ kwa hiyo akaitwa jina lake Yakobo.+ Na Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 wakati Rebeka alipowazaa. 1 Mambo ya Nyakati 1:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye Abrahamu akamzaa Isaka.+ Wana wa Isaka walikuwa Esau+ na Israeli.+
26 Na baadaye ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa unashikilia kisigino cha Esau;+ kwa hiyo akaitwa jina lake Yakobo.+ Na Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 wakati Rebeka alipowazaa.