Luka 22:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Akawaambia wao pia: “Wakati nilipowatuma+ ninyi bila mkoba na mfuko wa chakula na viatu, je, mlikosa kitu chochote?” Wakasema: “Hapana!” 1 Wakorintho 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni nani ambaye hutumika akiwa askari kwa gharama yake mwenyewe? Ni nani ambaye hupanda shamba la mizabibu na asile matunda yake?+ Au ni nani ambaye huchunga kundi na asinywe sehemu ya maziwa ya kundi?+
35 Akawaambia wao pia: “Wakati nilipowatuma+ ninyi bila mkoba na mfuko wa chakula na viatu, je, mlikosa kitu chochote?” Wakasema: “Hapana!”
7 Ni nani ambaye hutumika akiwa askari kwa gharama yake mwenyewe? Ni nani ambaye hupanda shamba la mizabibu na asile matunda yake?+ Au ni nani ambaye huchunga kundi na asinywe sehemu ya maziwa ya kundi?+