Marko 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tazama, Mafarisayo wakatokea na kuanza kubishana naye, wakitafuta kwake ishara kutoka mbinguni, ili kumjaribu.+ Luka 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hata hivyo, wengine, ili kumjaribu, wakaanza kutafuta kwake ishara+ kutoka mbinguni. 1 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Wayahudi wanaomba ishara+ na Wagiriki wanatafuta hekima;+
11 Tazama, Mafarisayo wakatokea na kuanza kubishana naye, wakitafuta kwake ishara kutoka mbinguni, ili kumjaribu.+