Mathayo 12:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+ Mathayo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Mafarisayo+ na Masadukayo wakamkaribia na, ili kumjaribu, wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.+ Yohana 6:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo wakamwambia: “Basi, wewe unafanya ishara+ gani, ili tuione, tukuamini? Ni kazi gani ambayo unafanya?
38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+
16 Ndipo Mafarisayo+ na Masadukayo wakamkaribia na, ili kumjaribu, wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.+
30 Kwa hiyo wakamwambia: “Basi, wewe unafanya ishara+ gani, ili tuione, tukuamini? Ni kazi gani ambayo unafanya?