Mathayo 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mambo yoyote mtakayofunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni, na mambo yoyote mtakayofungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni.+ Yohana 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mkisamehe dhambi za watu wowote,+ watakuwa wamesamehewa; msiposamehe zile za watu wowote, watakuwa hawajasamehewa.”+
18 “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mambo yoyote mtakayofunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni, na mambo yoyote mtakayofungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni.+
23 Mkisamehe dhambi za watu wowote,+ watakuwa wamesamehewa; msiposamehe zile za watu wowote, watakuwa hawajasamehewa.”+