-
Mathayo 18:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 “Kwa kweli ninawaambia, mambo yoyote mtakayofunga duniani tayari yatakuwa yamefungwa mbinguni, na mambo yoyote mtakayofungua duniani tayari yatakuwa yamefunguliwa mbinguni.
-
-
Mathayo 18:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
18 “Kwa kweli nawaambia nyinyi watu, Mambo yoyote yale ambayo huenda mkafunga duniani yatakuwa mambo yaliyofungwa mbinguni, na mambo yoyote yale ambayo huenda mkafungua duniani yatakuwa mambo yaliyofunguliwa mbinguni.
-