Mathayo 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni, na lolote utakalofunga duniani litakuwa jambo lililofungwa mbinguni, na lolote utakalofungua duniani litakuwa jambo lililofunguliwa mbinguni.”+ Yohana 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mkisamehe dhambi za watu wowote,+ watakuwa wamesamehewa; msiposamehe zile za watu wowote, watakuwa hawajasamehewa.”+
19 Nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni, na lolote utakalofunga duniani litakuwa jambo lililofungwa mbinguni, na lolote utakalofungua duniani litakuwa jambo lililofunguliwa mbinguni.”+
23 Mkisamehe dhambi za watu wowote,+ watakuwa wamesamehewa; msiposamehe zile za watu wowote, watakuwa hawajasamehewa.”+