Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, ninawaambia ninyi kwamba kila mtu anayeendelea kuwa na ghadhabu+ na ndugu yake atatoa hesabu+ mahakamani; lakini yeyote yule anayemwambia ndugu yake neno la dharau lisilosemeka atatoa hesabu katika Mahakama Kuu Zaidi; na yeyote yule anayesema, ‘Wewe mpumbavu wa kudharauliwa!’ atastahili Gehena* ya moto.+

  • Mathayo 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ikiwa, sasa, hilo jicho lako la kuume linakufanya ukwazike, ling’oe ulitupilie mbali nawe.+ Kwa maana kuna faida zaidi kwako kimoja cha viungo vyako kipotee kuliko mwili wako wote utupwe+ ndani ya Gehena.*

  • Marko 9:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na ikiwa jicho lako linakufanya ukwazike, litupe mbali;+ ni afadhali uingie katika ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja kuliko kutupwa katika Gehena*+ ukiwa na macho mawili,

  • Waroma 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 kwa maana ikiwa mnaishi kupatana na mwili hakika ninyi mtakufa;+ bali mkiyaua mazoea ya mwili+ kwa roho, mtaishi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki