6 Basi tunasema hekima katikati ya wale ambao ni wakomavu,+ lakini si hekima+ ya mfumo huu wa mambo wala ile ya watawala wa mfumo huu wa mambo,+ ambao watakuja kuwa si kitu.+
24 Si kwamba sisi ndio mabwana+ juu ya imani yenu, bali sisi ni wafanyakazi wenzi+ kwa shangwe yenu, kwa maana ni kwa imani+ yenu kwamba ninyi mnasimama.+