Waebrania 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+ 1 Petro 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 wala si kama kwa kupiga ubwana+ juu ya wale ambao ni urithi wa Mungu,+ bali kuwa vielelezo kwa kundi.+
17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+
3 wala si kama kwa kupiga ubwana+ juu ya wale ambao ni urithi wa Mungu,+ bali kuwa vielelezo kwa kundi.+